Portal:Språk/Utvalgt Wikipedia/2009/12

Fra Wikipedia, den frie encyklopedi
Ukuta wa Berlin
Ukuta wa Berlin
Ukuta wa Berlin ulitenganisha sehemu mbili za jiji la Berlin (Ujerumani) kuanzia 13 Agosti 1961 hadi 9 Novemba 1989. Ukuta huu ulikuwa na urefu wa kilomita 45.3 ukiwa sehemu ya mpaka kati ya madola mawili ya Ujerumani yaliyokuwepo kuanzia 1949 hadi 1990. Chanzo cha ukuta ulikuwa ugawaji wa jiji la Berlin baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia tangu 1945. Nchi washindi ziliamua kugawa Ujerumani yote wakaanzisha kanda nne zilizotawaliwa na Umoja wa Kisovyeti, Marekani, Uingereza na Ufaransa. Berlin ilikuwa ndani ya kanda la kisovyeti lakini ikiwa mji mkuu wa Ujerumani ilitangazwa kuwa mkoa wa pekee ikagawiwa pia katika kanda nne za washindi.

Wikipediaswahili har nettopp starta en konkurranse i regi av Google, som går ut på å få studenter i Kenya og Tanzania til å skrive artikler på swahilispråklig Wikipedia. Artikkelen det vises utdrag av over handler om Berlinmuren, og var utvalgt i forbindelse med 20-årsjubileet for Tysklands gjenforening.